shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Huko sio muuminiUtaenda uwanjani?
Huko sio muuminiUtaenda uwanjani?
Hahahahaha wewe unaonekana ni muumini wa kitwangaHuko sio muumini
View attachment 410039View attachment 410040View attachment 410041
Tusichoshane sana au sio??
Kila la heri Dar es salaam Young African katika mpambano wa Leo
Jina langu naitwa Jimena Jimenes nawatakia weekend njema na kila la heri katika kusubiria mechi ya watani wa jadi
Ahsante kwa Magazeti JJ.View attachment 410039View attachment 410040View attachment 410041
Tusichoshane sana au sio??
Kila la heri Dar es salaam Young African katika mpambano wa Leo
Jina langu naitwa Jimena Jimenes nawatakia weekend njema na kila la heri katika kusubiria mechi ya watani wa jadi
Leo katika Historia:
1931 - Daraja la George Washington linalounganisha New Jersey na New York lafunguliwa rasmi.
Daraja hilo kwa mwaka linapitisha magari milioni 106 na kufanya kuwa daraja linalotumika na magari mengi zaidi Duniani.
Leo katika Historia:
1931 - Daraja la George Washington linalounganisha New Jersey na New York lafunguliwa rasmi.
Daraja hilo kwa mwaka linapitisha magari milioni 106 na kufanya kuwa daraja linalotumika na magari mengi zaidi Duniani.
Kaza kibishiNetwork inanisumbua
1936 - Jenerali Fransisco Franco anachaguliwa kuwa Kiongozi wa Nchi ya Hispania.
Alitawala kwa mkono wa chuma na kuwatesa sana Wakatalunya hali iliyosababisha kuzuka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe.
1949 - Jamhuri ya Watu wa China yaanzishwa rasmi chini ya uongozi wa Mao Ze Dong.
View attachment 410109View attachment 410110View attachment 410112
Ze Dong & Zedong ipi sahihi
.................
1957 - maneno " In God We Trust " yaanza kutumika katika ( Noti ) Dola ya Marekani