Makapuku Forum

Makapuku Forum

JE WAJUA?
Hii ni picha ya kwanza kupigwa kwa kamera duniani mwaka 1826,ilipigwa na Joseph Niepce huko ufaransa
first_photograph_home_trans.png
 
Leo nimeingia jikoni nikamuona sisimizi mmoja kwenye kabati nikamuwekea *visukari* kidogo mbele yake akaanza kulamba na baadae kidogo akaenda kuwaita wenzake. Alipoondoka me nikaifuta ile sukari ili wenzie wakija wamwone *muongo*.
*SIPENDAGI UJINGA MIMI*
 
1962 - Frank Rijkaard anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Uholanzi aliyetamba akiwa na klabu ya Ac Milan na tinu ya taifa ya Uholanzi.

Baada ya kustaafu alikuja kuwa kocha wa Barcelona ambapo alitengeneza timu iliyokuja kutawala soka la Ulaya ikiwa ni pamoja na kushinda ubingwa wa ulaya mwaka 2006.
Nini kilimtoa Rijkaard Barcelona???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom