Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,249
1945 - Ehud Olmert anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 12 wa Israel. Japo alitawala kwa muda mfupi wa miaka mitatu ila anachukuliwa kama mmoja wa Waziri Mkuu waliotawala kibabe dhidi ya maadui wa Israel.
Alijiuzulu kwa kashfa za Rushwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 12 wa Israel. Japo alitawala kwa muda mfupi wa miaka mitatu ila anachukuliwa kama mmoja wa Waziri Mkuu waliotawala kibabe dhidi ya maadui wa Israel.
Alijiuzulu kwa kashfa za Rushwa.