MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Agizo limetoka walipwe hahahahahaKumbuka Wana miezi 7 hawajalipwa mishahara
Agizo limetoka walipwe hahahahahaKumbuka Wana miezi 7 hawajalipwa mishahara
kichwa ngumuHahahahaha Propesa anaburuzwa
Linasifia hata utumbo mchafu hahahahahagazeti la chama hilo
We mwache kitavunjikakichwa ngumu
.....yaani mpaka nakasirika aagh!!!Kumbuka Wana miezi 7 hawajalipwa mishahara

Yule traffic dadako ndio nitamtumia kulipiziaWe mkongo kiswahili kwako kigumu
Wanamaainisha "limepeperuka" hivyo watu mofukoni kweupe
![]()
![]()
![]()
.......

Wamelipwa au bado?Agizo limetoka walipwe hahahahaha
Hela watatoa wapi mpaka wapige dili hahahahahaWamelipwa au bado?
Uingereza kaitawala DuniaLeo katika Historia:
1966 - Siku ya Uhuru wa Botswana.
Ilipata uhuru wake toka kwa Waingereza.
Leo katika Historia:
1966 - Siku ya Uhuru wa Botswana.
Ilipata uhuru wake toka kwa Waingereza.
Leo ni siku ya kimataifa ya Ukalimani.
Lebanon hawana mlengo wa kidini?1933 - Michel Aoun anazaliwa.
Ni Rais wa Lebanon.