*```Kijana mmoja alikuwa amekaa katika siti ya Basi pembeni ya Mzee mmoja akila chokleti wakati wakisubiri kuanza safari, alipomaliza akanunua chokleti ingine akaanza kula, yule Mzee wa pembeni yake akamwambia kijana "Unajua kama Chokleti zitaozesha meno yako?, yule kijana akajibu " Babu yangu aliishi miaka 140", Yule Mzee akastaajabu na kuuliza tena,"Je babu yako nae alikuwa akila sana chokleti?", kijana akajibu "Alikuwa hafuatiliii maisha ya wengine"```*
sipendi ujinga mimi