Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyo ni Roy Makaay...Deportivo La Coruna hapo, hiyo Depo ilikuwa hatari sana kulikuwepo na akina Walter Pandiani, Diego Tristan na wengneo...

Walipigwa 4-1 na Ac Milan kwenye Uefa, wakenda kumuua Ac Milan palepale kwao San Siro 4-0.
Hii deportivo hawataioata tena.. Ikapotea katikati hapo na daraja wakashuka
 
2.Mwanamke aliyeolewa mara nyingi duniani;Linda Taylor wa marekani amevunja rekodi ya kuolewa mara nyingi,ameolewa kwa ndoa mara 23.
most-marriages.jpg

..loading namba 3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom