Makapuku Forum

Makapuku Forum

vita ya kagera ilisababisha kuporomoka kwa uchumi,hivyo ilitubidi tuanze upya...lakini kiburi cha nyerere kupingana na "Capitalist" na kuwa "mjamaa"..wakenya wao walikuwa upande wa capitalist,ila nyerere ni mtu wa ajabu sana wakati anaondoka madarakani alisema "KWENYE UPANDE WA UCHUMI TUMEFELI,TUKUBALI HIVYO".
The Book
Naona hii ishu ya vita inaongelewa mnoo..

Nimekuelewa sasa..
 
vita ya kagera ilisababisha kuporomoka kwa uchumi,hivyo ilitubidi tuanze upya...lakini kiburi cha nyerere kupingana na "Capitalist" na kuwa "mjamaa"..wakenya wao walikuwa upande wa capitalist,ila nyerere ni mtu wa ajabu sana wakati anaondoka madarakani alisema "KWENYE UPANDE WA UCHUMI TUMEFELI,TUKUBALI HIVYO".
The Book
Bora Nyerere alikuwa muwazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom