Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995
Kisichokuuwa kinakukomaza kiakiliAcha eti leo hii imebaki historia tu
Mapito yote yamepita na ndo yamenikomaza kiakili
Kisichokuuwa kinakukomaza kiakiliAcha eti leo hii imebaki historia tu
Mapito yote yamepita na ndo yamenikomaza kiakili
Now najitambua na nnategemewa pia, ndo mana nkiwa free naona niingie zangu Kf kirefresh mindpole Ila kushi Haina tabu hayo mengine acha
Pole mkuu.. Mie nshkuru niliepuka vtu kama hvyo.. Ila jitahid uache bob sio ishu kutumia vitu hvyo..Sasa mm hilo tatizo lako lilinipata nikiwa form 3,
Stress iliniandama sana na ndo chanzo cha kuanza kutumia mataputapu yote yaletayo stimu mwilin mwangu mpk leo hii
Ni kwel chifu, imebak hadithi tuKisichokuuwa kinakukomaza kiakili
Ndio hivyo, changamoto huwa zinakomaza sanaAcha eti leo hii imebaki historia tu
Mapito yote yamepita na ndo yamenikomaza kiakili
Yani hatari...Ndo sabb ya kutumia majengo ya mkolon kama ofisi badala ya kuyatumia kwa ajili ya utalii na kupata pato kubwa
Aahh.. Ajiandae kuwa mkimbizi tu huko madagascarApo sawa! Shululu anataka tikiti ya kwenda na kurudi!!!![]()
![]()
Naona hii ishu ya vita inaongelewa mnoo..vita ya kagera ilisababisha kuporomoka kwa uchumi,hivyo ilitubidi tuanze upya...lakini kiburi cha nyerere kupingana na "Capitalist" na kuwa "mjamaa"..wakenya wao walikuwa upande wa capitalist,ila nyerere ni mtu wa ajabu sana wakati anaondoka madarakani alisema "KWENYE UPANDE WA UCHUMI TUMEFELI,TUKUBALI HIVYO".
The Book
Ndiyo pwani hiyoWamekuja hadi dar
Nimekuza tena iko pana sana..Kuza network ya marafiki.
Haviniathiri kihivyo coz nacheza mpira sana na home nna gym.Pole mkuu.. Mie nshkuru niliepuka vtu kama hvyo.. Ila jitahid uache bob sio ishu kutumia vitu hvyo..
Ishapita n nishakubali ukweli.. Napambana na hali ya sasa..Ni kusonga mbele tu maana ishatokea hiyo na hamna namna...we cannot turn back the years.
Bora Nyerere alikuwa muwazivita ya kagera ilisababisha kuporomoka kwa uchumi,hivyo ilitubidi tuanze upya...lakini kiburi cha nyerere kupingana na "Capitalist" na kuwa "mjamaa"..wakenya wao walikuwa upande wa capitalist,ila nyerere ni mtu wa ajabu sana wakati anaondoka madarakani alisema "KWENYE UPANDE WA UCHUMI TUMEFELI,TUKUBALI HIVYO".
The Book
Umeelewa mkuuNaona hii ishu ya vita inaongelewa mnoo..
Nimekuelewa sasa..
Pole mkuuSasa mm hilo tatizo lako lilinipata nikiwa form 3,
Stress iliniandama sana na ndo chanzo cha kuanza kutumia mataputapu yote yaletayo stimu mwilin mwangu mpk leo hii
Kikofia.Sasa mm hilo tatizo lako lilinipata nikiwa form 3,
Stress iliniandama sana na ndo chanzo cha kuanza kutumia mataputapu yote yaletayo stimu mwilin mwangu mpk leo hii
Ota vikubwa uishi maisha makubwa..Aah!!! Wapi!!! Sina shida ndogo kaa hizo, Me nawaza mambo ya dollarz in term of billionz![]()
Zilinikomaza kiakili zikanifanya no-focus kutafuta mkwanja mpk now mambo yako superNdio hivyo, changamoto huwa zinakomaza sana
So una kid ana aka ngapi?Hapo ndio miyeyusho kwetu sote.. Nakumbuka form 6 niko azania pale napiga PCM nikampa mimba binti mmoja yuko chuo.. Ndugu yangu nilitaman dunia ipasuke nidumbukie ndani.. Sio kwa shida nilizokuwa nakumbana nazo..![]()
![]()
![]()
![]()
Uzur siku zinapita na matatzo pia yatapiata![]()
![]()
![]()
Maana nna uhakika Quigley anapenda marafiki.Nimekuza tena iko pana sana..
Quigley mwanangu mnoo..