Makapuku Forum

Makapuku Forum

vita ya kagera ilisababisha kuporomoka kwa uchumi,hivyo ilitubidi tuanze upya...lakini kiburi cha nyerere kupingana na "Capitalist" na kuwa "mjamaa"..wakenya wao walikuwa upande wa capitalist,ila nyerere ni mtu wa ajabu sana wakati anaondoka madarakani alisema "KWENYE UPANDE WA UCHUMI TUMEFELI,TUKUBALI HIVYO".
The Book
Naona hii ishu ya vita inaongelewa mnoo..

Nimekuelewa sasa..
 
vita ya kagera ilisababisha kuporomoka kwa uchumi,hivyo ilitubidi tuanze upya...lakini kiburi cha nyerere kupingana na "Capitalist" na kuwa "mjamaa"..wakenya wao walikuwa upande wa capitalist,ila nyerere ni mtu wa ajabu sana wakati anaondoka madarakani alisema "KWENYE UPANDE WA UCHUMI TUMEFELI,TUKUBALI HIVYO".
The Book
Bora Nyerere alikuwa muwazi
 
Hapo ndio miyeyusho kwetu sote.. Nakumbuka form 6 niko azania pale napiga PCM nikampa mimba binti mmoja yuko chuo.. Ndugu yangu nilitaman dunia ipasuke nidumbukie ndani.. Sio kwa shida nilizokuwa nakumbana nazo..[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]

Uzur siku zinapita na matatzo pia yatapiata[emoji17] [emoji17] [emoji17]
So una kid ana aka ngapi?
 
Back
Top Bottom