Makapuku Forum

Kweli.. Nilikuwa naleta lyrics watu wanapiga soga tu.. Mtu unaacha tu, ila tungekuwa systematically, haichoshi kila siku vtu vpya, sasa kuleta stori uchwara sometime miyeyusho inaboa.
Story ni muda ambao hatuna segment/kitu cha kujadili
Tubadilike watu wabuni segment siyo kuwa wasindikizaji tu....Tusaidiane kuelimishana,kufundishana vitu vyenye u muhimu

Stori zinaburudisha lakini siyo kutwa nzima au wkt wa segment
Tutaonekana mambumbumbu
.........
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…