Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Usijali.... Next time itakuwa sawaDuh sasa mi nimeichukua tu youtube nikaitupia moja kwa moja nashangaa inakuja kama link
Usijali.... Next time itakuwa sawaDuh sasa mi nimeichukua tu youtube nikaitupia moja kwa moja nashangaa inakuja kama link
Nimeianza siku aloipost alitoa taarifa kuwa wakati Danny anadelay basi twende kwa peniela na nikamuelewa hivyo naenda nayo mdogo mdogoUkianzakutambaa nayo nna uhakika hautaonekana humu Kf
![]()
![]()
![]()
Hehehe kina Kiba 100Team Ali Kimba hoiii
![]()
![]()
![]()
..........
Nimechana zen sitamjibu chochoteSema ungemuignore
Binti yangu kaniamsha kutaka mapishi we inauma kuamshwaa.Nite japo bado ni mchana kabisa
sleep tight kaniamsha mdogo wenu anataka nimtajie mapishi kikongwe mimi ah.Nite!
Too lateakichagua mi naweka manfongo
Kitambo sana nmeona akikukomalia na huo msemo wake, ila tayari nneshanunua kesi nasubiri tu mashambulizi
Hapa umenenaWapiga puli hao hawana experience hizo
![]()
![]()
![]()
....
Yule boya tuKitambo sana nmeona akikukomalia na huo msemo wake, ila tayari nneshanunua kesi nasubiri tu mashambulizi
Nimeianza siku aloipost alitoa taarifa kuwa wakati Danny anadelay basi twende kwa peniela na nikamuelewa hivyo naenda nayo mdogo mdogo
kumbe ww ni mfuatiliaj wa chini chini!Yule dwanzi tuYule boya tu
Me nimejibu halafu nikafuta...anajifanya mtu wa maana halafu ukute ni la 7 tu au muuza genge
![]()
![]()
![]()
........
makapuku wenzangu nimerudi kwa jina jipya.ahsante moderators
ni mwendo wa mapanga shaasasa jina zuri,avatar nayo natafuta nzuri...makapuku bwanaaaani mwendo wa mapanga shaa
nilikuwa kwenye mchakato wa kubadli jina
Ndo hvyo, huku tunaishi kwa heshima na adabu, ndo mana unaona mpk mods wanatukubalsasa jina zuri,avatar nayo natafuta nzuri...makapuku bwanaaaa

Ndo mama ulivyoibadili tu, nikawa wa kwanza kuutambua uwepo wakonilikuwa kwenye mchakato wa kubadli jina