Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lengo lako nmeshaligundua.. ina maana sisi tunacheza mechi za ndani ndo mana tunashinda hvyo tukitoka nje tutafungwa.
Acha Ukimber ww....
Round ya pili mtakuwa mnazurura tu mikoani ht msimu uliopita round ya kwanza mlianza kwa kelele
Tukutane Oct 1
Tambwe v Mifugo
Ngoma v Kichura
Kamusoko v Mkunde
Niyonzima v Kazimtoto

...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom