Makapuku Forum

Makapuku Forum

Morng ndugu zangu..

Mussolini
Briz
Jonax
Werrason
Jimena
Bitoz
Nsekwa
Mkwepa kodi
Shululu
Sweetiepie
Quigley
Sacajo

N.k
What?
1474876658611.jpg
 
1983 - Ricardo Quaresma anazaliwa.

Ni winga wa zamani wa Barcelona, Inter milan, Chelsea na Porto.

Wakati anakuwa alichukuliwa kama mmoja wa wachezaji mahiri watakaokuja kuwika wakikuwa.

Lakini hakuwahi kukidhi matarajio ya wengi. Yumo kundi moja na Javier Saviola, Pablo Aimar na wengineo walioshindwa kung'aa ukubwani baada ya kung'aa udogoni.
Huyu mie nashindwa kuelewa ni tatzo, sijui ndio nyota.. Yuko talentrd zaid ya cr7, naamin alishindwa kujiongeza maana kipaji chenyewe hakitoshi kama huna juhudi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom