Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

Leo ni siku ya Mapinduzi huko Yemen.
IMG_20160926_085146.jpeg
IMG_20160926_085210.jpeg
 
1976 - Michaek Ballack anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Bayern Munich, Bayer Leverkusen na Chelsea.

Anachukuliwa kama mmoja kati ya viungo bora wa kati kuwahi kutokea katika soka.

Pia ni miongoni mwa wachezaji wenye bahati mbaya na mataji.

Amevaa jezi namba 13 katika kila timu aliyocheza.
 
1983 - Ricardo Quaresma anazaliwa.

Ni winga wa zamani wa Barcelona, Inter milan, Chelsea na Porto.

Wakati anakuwa alichukuliwa kama mmoja wa wachezaji mahiri watakaokuja kuwika wakikuwa.

Lakini hakuwahi kukidhi matarajio ya wengi. Yumo kundi moja na Javier Saviola, Pablo Aimar na wengineo walioshindwa kung'aa ukubwani baada ya kung'aa udogoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom