Makapuku Forum

Makapuku Forum

1983 - Ricardo Quaresma anazaliwa.

Ni winga wa zamani wa Barcelona, Inter milan, Chelsea na Porto.

Wakati anakuwa alichukuliwa kama mmoja wa wachezaji mahiri watakaokuja kuwika wakikuwa.

Lakini hakuwahi kukidhi matarajio ya wengi. Yumo kundi moja na Javier Saviola, Pablo Aimar na wengineo walioshindwa kung'aa ukubwani baada ya kung'aa udogoni.
Jamaa namkumbuka EURO mwaka huu aliwaua watu sijui nusu final
........
 
1936 - Winnie Madikizela Mandela anazaliwa.

Alikuwa ni mke wa kwanza wa Nelson Mandela.

Ndoa yao ilidumu kwa miaka 38 kabla ya kuachana na Mandela kumuoa mke wa zamani wa Samora Machel, Graca Machel.

Anachukuliwa kama mama wa Taifa la Afrika ya Kusini.
Ila Mandela alikuwa anajua sana kuchagua maana vifaa vyake ni shida, hata Graca Machel Mandela nae ni mrembo

Happy birthday Winnie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom