Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aione briz hii..... Zawadi zetu tukazifate mapema zisije kuexpire my dear
Xpire date yake si ya leo wala kesho.. Siwez kuleta vitu expire date siku mbili itakuwa nongwa hizo.. Ila labda kuexpire kwa hamu, utakuja ichukua wakat mshawasha wake utakuwa umeshuka.. Maana haiwezekan mshind wa leo zawad apewe mwakan.. Tuzo inakuwa haina shangwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom