MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Vyote mkuu hahahahahaMorning, unatumia kilevi gani mkuu?
Vyote mkuu hahahahahaMorning, unatumia kilevi gani mkuu?
Mp upoHodi humuuu......shikamoon makapuku wenzangu.....za siku mingii......natumaini mpo vizur
Naona ndio unaamkaPowa mkuu
Mpaka komoni?Vyote mkuu hahahahaha
Ni komoni au Common???Mpaka komoni?

Pombe inaitwa komoni /kimpumuNi komoni au Common???![]()
Ai nooPombe inaitwa komoni /kimpumu

Namkubali sana Will Smith1968 - Will Smith anazaliwa.
Ni actor na mwanamuziki kutoka nchini Marekani.
Yuko vizuri sana, amedumu kwenye faniNamkubali sana Will Smith