Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,225
- 39,940
Merci PapaaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa siku 100 zilizobaki, niwatakie siku njema.
Merci PapaaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa siku 100 zilizobaki, niwatakie siku njema.
Tena goli lake pasi akitoa Vieira. Wachambuzi wakasema goli lilitengenzwa na kufungwa Highbury. ( Uwanja wa zamani wa Arsenal )View attachment 404746View attachment 404747View attachment 404748
Alifupia bao la 3 dhidi ya Brazil
1998 WC Final
France 3:0 Brazil
Zidane bao 2
............
Kwanini!!?Ila mama yetu Jimena tusimwite Kapuku
Pamoja KiongoziAsante mkuu mussolin
Mji mkuu wao unaitwa, Sofia.
Poa poa.Baadaye kidogo
................
Usiseme "mama yetu" sema "mama yangu" kuna wengine majirani zake, wengine wajomba zake, wengine shemej zake na mwingine mumewe.. Sawa kijana eehh!!?Ila mama yetu Jimena tusimwite Kapuku
Ni kweli mkuuSiku hazigandi![]()
![]()
![]()
![]()
Kitambo sana, sema enzi hizo walikuwa hawaweki wazi.Ushoga U.S. longi Kumbeeeh???
Jana nilienda interview nikaulizwa "What do you do for a living??"
Nikawaambia I breath in and out
Sipendi utoto Mimi!
I think kesho nareport job![]()

Wee bwege rudisha ile picha uliopiga umevaa kata k na misikio yako kama popo..Sihitaji avatar ya kupendeza mimi siyo demu
Siibadilishi hii avatar
Uzuri wa avatar ni ujumbe/swaga hapa siyo FB
![]()
![]()
![]()
........
Usiseme "mama yetu" sema "mama yangu" kuna wengine majirani zake, wengine wajomba zake, wengine shemej zake na mwingine mumewe.. Sawa kijana eehh!!?
yap!!! Me ni semegi
Usikute walipanga kisud, ili shoga nae aonekane wa maana katika jamii..1975 - Sara Jane Moore anajaribu kumuua Rais wa Marekani, Gerald Ford kwa kutaka kumpiga risasi.
Raia mmoka aliyejulikana kama Oliver Sipple ambaye alikuwa amekaa karibu na Sara Jane anafanikiwa kumtingisha Muuaji huyo na kumuokoa Rais.
Licha ya ushujaa wake wa kumuokoa Rais, Oliver alikuwa shoga lakini haikumzuia kuingia katika vitabu vya kumbukumbu kama shujaa.
....acha uchawi basii....nasubiria telefoneee coz walinambia watani![]()
![]()
![]()
![]()
Labda kama aliyekuintaviuu ni babu yako
![]()
![]()
![]()

Kanikumbusha mbali na arsenal n ufaransa yanguKiungo bora kabisa, mtulivu sana
HatakiBitoz.. Rudisha avatar ya mwanzo bhna..
Morning 2Morning kapukuz...
Nilikuwa nampenda sana huyu mtuu.. Hapa yeye huku luis garcia.. Gerrard, alonso aahh.. Liver nyie mlifia wapi!!?1978 - Harry Kewell anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Leeds United na Liverpool na timu ya taifa ya Australia.
Mmoja kati ya mawinga bora wa kushoto aliyekuwa na uwezo mkubwa sana, alishinda Ubingwa wa Ulaya akiwa na Liverpool mwaka 2005.