Makapuku Forum

Makapuku Forum

1980 - Iraq inaivamia nchi ya Iran kivita.
IMG_20160922_102600.jpeg
IMG_20160922_102611.jpeg
IMG_20160922_102551.jpeg

Maisha bila vita hayaendi
...........
 
1975 - Sara Jane Moore anajaribu kumuua Rais wa Marekani, Gerald Ford kwa kutaka kumpiga risasi.

Raia mmoka aliyejulikana kama Oliver Sipple ambaye alikuwa amekaa karibu na Sara Jane anafanikiwa kumtingisha Muuaji huyo na kumuokoa Rais.

Licha ya ushujaa wake wa kumuokoa Rais, Oliver alikuwa shoga lakini haikumzuia kuingia katika vitabu vya kumbukumbu kama shujaa.
Ushoga U.S. longi Kumbeeeh???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom