Inawezekana aiseeUlikatika nchi nzima nini!!!
Hata huku tabora walikata..Inawezekana aisee
Nchi ya viwanda hii, hatari sanaHata huku tabora walikata..
Umeme tu majanga, hvyo viwanda c daily hasara tuuNchi ya viwanda hii, hatari sana
kanikuta nimekaa zangu nimetulia


Sawakuna mtu nimemtolea uvivu leo wamenizoeakanikuta nimekaa zangu nimetulia
ananiuliza "mbona umekunja
sura"? nikamjibu nataka kuiweka kwenye begi
sipendi ujinga mimi![]()
Ukauzu wa kutosha!!kuna mtu nimemtolea uvivu leo wamenizoeakanikuta nimekaa zangu nimetulia
ananiuliza "mbona umekunja
sura"? nikamjibu nataka kuiweka kwenye begi
sipendi ujinga mimi![]()
Nawe pia, msalimie huyo mpareView attachment 404584
Usingizi mkali
Sitaangalia kipindi cha pili
USIKU MWEMA
...........................
Hahahahakuna mtu nimemtolea uvivu leo wamenizoeakanikuta nimekaa zangu nimetulia
ananiuliza "mbona umekunja
sura"? nikamjibu nataka kuiweka kwenye begi
sipendi ujinga mimi![]()
Nzuri za weweHabari za asubuhi makapuku wenzangu, moningi