Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Asante sana mussolin
Ila bajaji imeleta mjadala sana humu jf, post zake zinachekesha sana
Eti inatumia masa 15 kufika mwanza


Asante sana mussolin
Ila bajaji imeleta mjadala sana humu jf, post zake zinachekesha sana
Eti inatumia masa 15 kufika mwanza


Baba wa taifa analenga mulemule chezea wewe!!Huwa wanaangalia, mbona itv siku hizi hawatoi wosia wa Baba wa Taifa?
Yaani huku ni kuzuri sana kwa kujificha, ni kama kwenda bagamoyo na demu wako, mnafyatuana mpaka hamu inawaishia teh teh teh tehNa hivi sisi ni Makapuku!no one cares, they don't give a shit about us anyway!!...yani huku KF ni zaidi ya chimbo.
Tatizo ni mafuta au???Hawawezi hata kidogo
SanaaNaona uko na furaha![]()
![]()
Uko poa eeh?Morning mum
Me sio Mkuu......humu kwenye makapuku hakuna wakuu.....Mkuu ni Mungu pekee......kwahiyo kuwa freeSawa mkuu, teh teh teh teh
Pouwa mama yanguUko poa eeh?
Salama tu...kwema hapoZa mchana jirani
Amenizidi kidogo lakini.Kama wewe tu, au wewe mkubwa
Hahahahaha, teh teh teh teh teh, kwi kwi kwi kwiMe sio Mkuu......humu kwenye makapuku hakuna wakuu.....Mkuu ni Mungu pekee......kwahiyo kuwa free
Mkwepa kodi a.k.a mzee wa kufyatua!Yaani huku ni kuzuri sana kwa kujificha, ni kama kwenda bagamoyo na demu wako, mnafyatuana mpaka hamu inawaishia teh teh teh teh


Ndio hivyo......makapuku ni peace and loveHahahahaha, teh teh teh teh teh, kwi kwi kwi kwi

Nimemzidi miaka 20 mbele so piga hesabuKwani we mkubwaa![]()
![]()
![]()

GoodPouwa mama yangu
Hayo ni maandishi tu hata kwenye kanga yapo...usiyaamini. Sacajo acha nongwaNikwelii???![]()
![]()
![]()

