Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Wee MKWEPA KODI TRA ni mjomba wako ama ni ndugu tu upande wa bibi?Hahahahaha
Wee MKWEPA KODI TRA ni mjomba wako ama ni ndugu tu upande wa bibi?Hahahahaha
Mukongo iko fasi ya paliiMorning Papaa
Asante sana kwa magazeti ya leo Ankali JJView attachment 404077View attachment 404078View attachment 404079
Kwa hisani ya Kilimanjaro Queens sina la ziada kutoka kwenye magazeti yetu ya Leo.
Naitwa Jimena Jimenes
Nawatakia siku njema na mafanikio tele
Adios
Ni bibi yanguWee MKWEPA KODI TRA ni mjomba wako ama ni ndugu tu upande wa bibi?
Mkuu hii iwekee uzi kule habari mchanganyikoWakati linaanza Treni tulipanda bure..
Tulipozindua Daraja la kigamboni tulipita bure...
Uwanja wa Taifa tuliuzindua bure...
Mabasi ya Mwendokasi tulipanda bure...
Je, je, je, je, Na hii ndege mpya nayo
TUTAPANDA BURE KWA MUDA GANI...??!
![]()
HahahahahahahaUnakutana na kidemu ndani ya miezi miwili kanataka kaje waona wazazi wako. Dada, mi mwenyewe nlikaa miezi 9 tumboni kabla sijawaona wazazi wangu mwenyewe, usiniletee mapenzi ya Mwendokasi.
Sipendagi ujinga mimi![]()
Amen.....thanks JJ....adiosView attachment 404077View attachment 404078View attachment 404079
Kwa hisani ya Kilimanjaro Queens sina la ziada kutoka kwenye magazeti yetu ya Leo.
Naitwa Jimena Jimenes
Nawatakia siku njema na mafanikio tele
Adios