Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
Duuh
Duuh
Asante na tayari nimesha commentKuanzia leo tutakuwa tunapata verse moja ya nyimbo yoyote... Tunasaidiana kuelezana kilichozungumziwa humo ndani km mtu hujaelewa..
Nadhani na jina la chale chae... Liitokea kwa huyu bwana
Si ungeringa!!
Wacha weeeee.....weka pichaMie namshukuru mola, moyo una aman tele.
Pia katika tukio hilo kuna watoto wachanga wanne waliokuja kufahamika kama " Miracle Babies " ambao walifukiwa chini kwa siku 7 bila chakula wala maji lakini wakaja kupatikana wakiwa ni wazima kabisa na afya zao zikiwa salama salmini.Allah Akbar
Mungu mkubwa akitaka liwe linakuwa..
![]()
![]()
2002 - Robert Guei anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa 3 wa Ivory Coast.
Mkuu.. Sio udhamin wa R.I.PLeo katika Historia Orijino:
Kwa udhamini Mnono wa Rooney na Mourinho, niwatakieni Siku njema.
Bye
Sidhan.. Ila kibongo bongo mzee majuto aliwahi kusema ujanan mwake alifukuzwa kazi sababu ya kuchekesha sana.. Akienda yeye kazin watu wanaganda tu hawapigi kazi wanamsklza yeye na ukatuni wake.. Asipoenda kazin kaI inapigwa hatar.. Bosi akampa fireNimeona hilo![]()
![]()
![]()
AiseePia katika tukio hilo kuna watoto wachanga wanne waliokuja kufahamika kama " Miracle Babies " ambao walifukiwa chini kwa siku 7 bila chakula wala maji lakini wakaja kupatikana wakiwa ni wazima kabisa na afya zao zikiwa salama salmini.
Hayo ndio maajabu yaliyotokea Katika tetemeko kubwa kabisa la mwaka 1985 pale Mexico.
Hapo sawa, vosiwa vipo mabibo Beach
Na sio visiwa
Ilikuwa ni sababu za kisiasa zaidi baada ya kuonekana yeye Charlie Chaplin anaunga mkono zaidi Ukomunist kuliko Ubepari.Kisa na mkasa!!?
Ahsante pia...Asante na tayari nimesha comment
2015 - Walter Young anafariki Dunia.
Alikuwa ni mchezaji wa mpira wa Rugby toka nchini Marekani.
Mambo mengi kwakweliHivi humu huwa mnajadili nini?

Yote hayo tunayajadili tukiwa kama Family moja.Duuuuuuh Kagame umetishaaaKinachojadiliwa ndicho hujadiliwa na wajadilio wako tayar kujadili kijadiliwacho
Hhmm.. Nini tutasema zaid ya kukubali utukufubwa aliyetuumba.Pia katika tukio hilo kuna watoto wachanga wanne waliokuja kufahamika kama " Miracle Babies " ambao walifukiwa chini kwa siku 7 bila chakula wala maji lakini wakaja kupatikana wakiwa ni wazima kabisa na afya zao zikiwa salama salmini.
Hayo ndio maajabu yaliyotokea Katika tetemeko kubwa kabisa la mwaka 1985 pale Mexico.
Ahsante Jimena Jimenez kwa hisani ya PogbaView attachment 402884View attachment 402885View attachment 402886
Mpaka kufikia hapo sina la ziada. Niite Jimena Jimenes
Shukrani kwenu wote na muwe na wiki njema yenye mafanikio tele
Ciao

Big up kwa Bitoz amevipaisha visiwa vya kambale mabibo![]()
![]()
![]()
Vosiwa vya kambale
Wacha weeeee.....weka picha