Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mimi nipo ChitChat na Jukwaa la siasa napitaga mara moja moja kukiwa na ishu hot, MMU huwa napita nasoma thread za watu najichekea... linalonigusa nachangia nasepa...na tangu nijiunge JF sijawahi kutoa Uzi kama uzi zaidi ya humu tu ila segment ya Old is gold.
Ndo hivo kuna watu ni MUCH KNOW
Halafu vichwani weupe

........
 
Mi kule intelligence napapenda sana yani hata nisipochangia ila ni lazima nisome thread za kule tena sana
Mi azunguka majukwaa nengi kimyakimya najifunza vitu vingi ....km kitu kinanigusa nacomment km sijui nakaa kimya
Siwezi anzisha thread ya vitu nisivyovimudu au ilimradi tu nijulikane
................
 
Weka picha
295df3e7944f9cbd5fab192a54163ffd.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom