sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Nawe pia dictatorLeo katika Historia:
Sina la ziada toka mezani kwangu, tukutane kesho kwa udhamini mnono wa Katibu wa TeamWekaPicha Jimena Jimenes JJ.
Sabato njema Wakuu.

Nawe pia dictatorLeo katika Historia:
Sina la ziada toka mezani kwangu, tukutane kesho kwa udhamini mnono wa Katibu wa TeamWekaPicha Jimena Jimenes JJ.
Sabato njema Wakuu.

1978 - Mkataba wa Ushirikiano na kumaliza tofauti kati ya Israel na Misri wasainiwa huko Nchini Marekani katika Eneo la mapumziko ya Rais yajulikanayo kama " Camp David "
Mkataba huo uliojulikana kama " Camp David Accords " ulihudhuriwa na Waziri Mkuu wa Israel Menachem Begin, Rais wa Misri Anwar Sadat pamoja na mwenyeji wao Rais Jimmy Carter.
1983 - Vanessa Williams anakuwa Miss America mweusi wa kwanza katika historia ya mashindano hayo.
1991 - Nchi za Korea Kusini na Kaskazini, Estonia na Lithuania zajiunga umoja wa mataifa.
1922 - Augusto Netho anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa kwanza wa Angola.
1945 - Phil Jackson anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Mpira wa Kikapu toka Nchini Marekani ambapo kwa sasa ni Kocha wa Mchezo huo.
1968 - Tito Vilanova anazaliwa.
Ni kocha wa zamani wa Barcelona na Hispania.
Alifariki Dunia mwaka 2014.
Hahahaha atasubiri sanaa kweli huu uzi ni homa ya jijiKumbe kuna njemba mpenda sifa kaiba kipindi chetu cha Leo katika historia
Tutaona mengi
Lakini kimemshinda sababu kichwani hayupo vizuri kimatukio zaidi ya kukopi
Top Ten inaonekana ngumu ndio maana hawajaiga
Kuiga ni jambo moja ubora/mvuto ni jambo lingine ndio maana Wakongwe walituiga na kuanzisha VF kisha ikafa kifo cha mende
![]()
![]()
![]()
![]()
...................
1981 - Bakari Kone anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa klabu za Asec Mimosas, Nice, Marseille na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Ndo ushangae sasaSi Anakubalika 96%
![]()
![]()
![]()
![]()
............
Pamoja sana wadauAsante kwa magazeti![]()
Weka pichaAhsante kwa Magazeti Katibu Mkuu!
Vanessa huyu huyu mwanamziki aliyeimba save the best for last??1983 - Vanessa Williams anakuwa Miss America mweusi wa kwanza katika historia ya mashindano hayo.
Shukrani sana mwenyekitiLeo katika Historia:
Sina la ziada toka mezani kwangu, tukutane kesho kwa udhamini mnono wa Katibu wa TeamWekaPicha Jimena Jimenes JJ.
Sabato njema Wakuu.
z voiceFull kutapatapaNenda habari na hoja mchanganyiko
Ni Mchawi jr
.........
Ngoja uibiwe na udhamini wakoLeo katika Historia:
Sina la ziada toka mezani kwangu, tukutane kesho kwa udhamini mnono wa Katibu wa TeamWekaPicha Jimena Jimenes JJ.
Sabato njema Wakuu.
Wapi oldiesOyeeeeee![]()
Uwiiiii hata mi nimeuliza hili swaliMussolin Vanesa yupi ni yule aliyeimba Save the bast for last au?
Anapenda sifa na kujifanya he knows everything utafikiri yeye GoogleFull kutapatapa