Makapuku Forum

Makapuku Forum

1978 - Mkataba wa Ushirikiano na kumaliza tofauti kati ya Israel na Misri wasainiwa huko Nchini Marekani katika Eneo la mapumziko ya Rais yajulikanayo kama " Camp David "

Mkataba huo uliojulikana kama " Camp David Accords " ulihudhuriwa na Waziri Mkuu wa Israel Menachem Begin, Rais wa Misri Anwar Sadat pamoja na mwenyeji wao Rais Jimmy Carter.
IMG_20160917_114136.jpeg
IMG_20160917_114116.jpeg
IMG_20160917_114126.jpeg

Camp David Accords
.........
 
Kumbe kuna njemba mpenda sifa kaiba kipindi chetu cha Leo katika historia
Tutaona mengi
Lakini kimemshinda sababu kichwani hayupo vizuri kimatukio zaidi ya kukopi

Top Ten inaonekana ngumu ndio maana hawajaiga
Kuiga ni jambo moja ubora/mvuto ni jambo lingine ndio maana Wakongwe walituiga na kuanzisha VF kisha ikafa kifo cha mende

...................
Hahahaha atasubiri sanaa kweli huu uzi ni homa ya jiji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom