Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Mlikuwa nami Swt P kwa udhamini mnono wa Liverpool, tuonane tena kesho. Enjoy your weekend!


Pongezi ziende kwakee
Ninyi ni pachaUwiiiii hata mi nimeuliza hili swali
Anapenda sifa na kujifanya he knows everything utafikiri yeye Google
kila jukwaa ana mathread anataka yawekwe sticky
![]()
![]()
![]()
![]()
...........

*Jana baada ya kukosa usingizi nikakumbuka maneno ya wahenga alalae usimuamshe ukimuamsha utalala wewe, nikaenda zangu kwenye kambi ya jeshi nikakuta wanajeshi wawili wamelala nikawamwagia maji ,,sasa ivi niko zangu muhimbili nimelala sina tatizo na mtu...*
![]()
sisi ni wazee wa kazi

Nipe sababu 3 zakusema hivyoNa atakuwa beki 3 au mpangaji mwenzake !!![]()
1. Beki 3 ndio huwa victims sana wa kuchunguliwaNipe sababu 3 zakusema hivyo
Haaaahaaaa, ndio hivyoNimecheka eti ni hatari kwa afya![]()
![]()
![]()
![]()
Nipo mbuyuni hapa nasubiri"Old is ever Gold" itawajia hivi punde........![]()
Jade - One Woman (1993):
Jade - Don't Walk Away (1992):
Kama maji vile, wasipooga basi ni lazima wanyweHaaaahaaaa, ndio hivyo
Asante, pamoja na wewe jiraniMlikuwa nami Swt P kwa udhamini mnono wa Liverpool, tuonane tena kesho. Enjoy your weekend!![]()
Leo naona una mzuka wa kukaa nje sana tu...nimekuona muda mrefu sana hapo.Nipo mbuyuni hapa nasubiri

Safi"Old is ever Gold" itawajia hivi punde........![]()
Na Vijana wa kazi je![]()
![]()
![]()
sisi ni wazee wa kazi
![]()
![]()
Peace and love mkuumara 'hatimaye wamekiri' kwani kuna ugomvi? mi nilisema kwa nia njema tu....
Hawezi kukupaNipe sababu 3 zakusema hivyo
Hizi ngoma ni Everlasting!Umetisha sana dj jd na phast edi
Mtaa wa mangoma radio one enzi hizo
Acha kabisa