Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jamaaa anapenda sifa sana yule hata kwa vitu vya kuiga/kukopi
Kila jukwaa yupo....ukiona mtu ana mathread kila jukwaa ujue wanatafuta sifa/umaarufu na kujifanya much know

Binafsi nipo chit chat,fasheni na Jamii photos sababu ndo mambo ninayoyapenda na kuyajua + kuyamudu
...................
Mimi nipo ChitChat na Jukwaa la siasa napitaga mara moja moja kukiwa na ishu hot, MMU huwa napita nasoma thread za watu najichekea... linalonigusa nachangia nasepa...na tangu nijiunge JF sijawahi kutoa Uzi kama uzi zaidi ya humu tu ila segment ya Old is gold.
 
Kumbe kuna njemba mpenda sifa kaiba kipindi chetu cha Leo katika historia
Tutaona mengi
Lakini kimemshinda sababu kichwani hayupo vizuri kimatukio zaidi ya kukopi

Top Ten inaonekana ngumu ndio maana hawajaiga
Kuiga ni jambo moja ubora/mvuto ni jambo lingine ndio maana Wakongwe walituiga na kuanzisha VF kisha ikafa kifo cha mende

...................
Nani aliyeiga huyo.....au kingongo???
 
Kumbe kuna njemba mpenda sifa kaiba kipindi chetu cha Leo katika historia
Tutaona mengi
Lakini kimemshinda sababu kichwani hayupo vizuri kimatukio zaidi ya kukopi

Top Ten inaonekana ngumu ndio maana hawajaiga
Kuiga ni jambo moja ubora/mvuto ni jambo lingine ndio maana Wakongwe walituiga na kuanzisha VF kisha ikafa kifo cha mende

...................
Duh sikuwa na habari
 
1978 - Mkataba wa Ushirikiano na kumaliza tofauti kati ya Israel na Misri wasainiwa huko Nchini Marekani katika Eneo la mapumziko ya Rais yajulikanayo kama " Camp David "

Mkataba huo uliojulikana kama " Camp David Accords " ulihudhuriwa na Waziri Mkuu wa Israel Menachem Begin, Rais wa Misri Anwar Sadat pamoja na mwenyeji wao Rais Jimmy Carter.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom