Makapuku Forum

Makapuku Forum

1830 - Reli ya kutoka Jijini Liverpool mpaka Jijini Machester yazinduliwa rasmi.

Iliunganisha miji hiyo miwili kibiashara ambapo mji mmoja ulikuwa na viwanda wakati mji mwingine ulikuwa na viwanda.
IMG_20160915_124225.jpeg
IMG_20160915_124216.jpeg
IMG_20160915_124205.jpeg

Mahasimu kwenye soka
.......
 
2001 - Rais George W. Bush anahutubia Taifa, baada ya mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa na Kikundi cha Al Qaeda.

Katika hotuba hiyo Rais Bush alitangaza vita yake dhidi ya Magaidi popote pale Duniani.

Ikumbukwe siku ya tukio la September 11, Rais Bush alikuwa shule moja huko New York, ghafla akafatwa na walinzi wake na kupelekwa katika ndege ya Airforce One na rubani kuelekea uelekeo wa Ghuba ya Mexico ambapo walikaa angani mpaka hali ya usalama ilipotengemaa na kurudi Ikulu Jijini Washington D.C
 
2001 - Rais George W. Bush anahutubia Taifa, baada ya mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa na Kikundi cha Al Qaeda.

Katika hotuba hiyo Rais Bush alitangaza vita yake dhidi ya Magaidi popote pale Duniani.

Ikumbukwe siku ya tukio la September 11, Rais Bush alikuwa shule moja huko New York, ghafla akafatwa na walinzi wake na kupelekwa katika ndege ya Airforce One na rubani kuelekea uelekeo wa Ghuba ya Mexico ambapo walikaa angani mpaka hali ya usalama ilipotengemaa na kurudi Ikulu Jijini Washington D.C
Na mpaka leo Marekani ni adui wa Magaidi na Magaidi ni maadui wa marekani.
 
2001 - Rais George W. Bush anahutubia Taifa, baada ya mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa na Kikundi cha Al Qaeda.

Katika hotuba hiyo Rais Bush alitangaza vita yake dhidi ya Magaidi popote pale Duniani.

Ikumbukwe siku ya tukio la September 11, Rais Bush alikuwa shule moja huko New York, ghafla akafatwa na walinzi wake na kupelekwa katika ndege ya Airforce One na rubani kuelekea uelekeo wa Ghuba ya Mexico ambapo walikaa angani mpaka hali ya usalama ilipotengemaa na kurudi Ikulu Jijini Washington D.C
IMG_20160915_125619.jpeg
IMG_20160915_125610.jpeg
IMG_20160915_125600.jpeg

Mwisho wa Siku Osama chali
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom