Makapuku Forum

Makapuku Forum

Prof liPUMBA anatafuta kick eti "sing'ang'anii nimeombwa"
Sasa km kaombwa halafu uongozi umemchunia zen kakomaa tu...je sio kung'ang'ania huko?
STUPIDITY
....................
Nikiskia huyo jamaa ni profesa huwa naona ni bora mie ambaye sijasoma asee, anatia kichefuchefu sana anaaibisha maprofesa wenzie
 
Silagi sembe...nakula ugali wa udaga na dona.
Kazi wako sasa
1473405554362.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom