Makapuku Forum

Makapuku Forum

Itabidi tupewe umod...Nilipojiunga Jf niliusoma kwanza mchezo zen nikaanza kutoa thread na KUTUKANWA SANA lkn sikutukana mtu ...sasa hivi sina hata shida ya kuanzisha thread hii tayari ni FUNIKA BOVU labda tu siku nijisikie...watajutia jinsi walivyokuwa wanatudhsrau
Sijawahi kula BAN
...................................................
Huu ni ushindi kwa Makapuku wote
........................................................
e538ffda6663e5553c201cbcd685c109.jpg
23c535826501feafb586c8c32cdef0fd.jpg

GOD BLESS KAPUKUZ
.....................
Ameen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom