Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makapuku Forum ndio thread yenye mafanikio zaid toka JF kuanzishwa kwake kwani ndani ya siku 6 imekuwa na view 68k na comment 9k hii haijawai tokea JF hvyo ni Jambo la kujipongeza makapuku kwa ushirikiano wetu
Itabidi tupewe umod...Nilipojiunga Jf niliusoma kwanza mchezo zen nikaanza kutoa thread na KUTUKANWA SANA lkn sikutukana mtu ...sasa hivi sina hata shida ya kuanzisha thread hii tayari ni FUNIKA BOVU labda tu siku nijisikie...watajutia jinsi walivyokuwa wanatudhsrau
Sijawahi kula BAN
...................................................
Huu ni ushindi kwa Makapuku wote
........................................................
e538ffda6663e5553c201cbcd685c109.jpg
23c535826501feafb586c8c32cdef0fd.jpg

GOD BLESS KAPUKUZ
.....................
 
Itabidi tupewe umod...Nilipojiunga Jf niliusoma kwanza mchezo zen nikaanza kutoa thread na KUTUKANWA SANA lkn sikutukana mtu ...sasa hivi sina hata shida ya kuanzisha thread hii tayari ni FUNIKA BOVU labda tu siku nijisikie...watajutia jinsi walivyokuwa wanatudhsrau
Huu ni ushindi kwa Makapuku wote
e538ffda6663e5553c201cbcd685c109.jpg
23c535826501feafb586c8c32cdef0fd.jpg

GOD BLESS KAPUKUZ
.....................
Shukrani kwa wazo zuri Peezidaa wa Makapuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom