Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Nipo kapuku mwenzako.. Mzima wewe..Kapuku upo...?
unanitafutia sababu mke me mbona sipo hivoDuh wewe hufugiki
Itabidi tupewe umod...Nilipojiunga Jf niliusoma kwanza mchezo zen nikaanza kutoa thread na KUTUKANWA SANA lkn sikutukana mtu ...sasa hivi sina hata shida ya kuanzisha thread hii tayari ni FUNIKA BOVU labda tu siku nijisikie...watajutia jinsi walivyokuwa wanatudhsrauMakapuku Forum ndio thread yenye mafanikio zaid toka JF kuanzishwa kwake kwani ndani ya siku 6 imekuwa na view 68k na comment 9k hii haijawai tokea JF hvyo ni Jambo la kujipongeza makapuku kwa ushirikiano wetu
Usijali jamani. Sijauliza kwa ubaya, nampenda yeye tuYoungblood anayajua haya
Nahrene tafadhali naomba maelezo hapaYoungblood anayajua haya
Mzima?😀😀😀😀 hapa ndo penyewe sasa

Nadhani umemaliza wote hongerakama kuna mtu leo sijampa like anyooshe mkono jamani
Huku mbele tunapoelekea ndo itaingia kiulaini zaidi, 20k, 30k mpaka wakaeImelenga penyewe.
Mchana ulinipa za uso balaa... Saivi aaaaaa... Ndo matunda hayoDuh wewe hufugiki
Shukrani kwa wazo zuri Peezidaa wa MakapukuItabidi tupewe umod...Nilipojiunga Jf niliusoma kwanza mchezo zen nikaanza kutoa thread na KUTUKANWA SANA lkn sikutukana mtu ...sasa hivi sina hata shida ya kuanzisha thread hii tayari ni FUNIKA BOVU labda tu siku nijisikie...watajutia jinsi walivyokuwa wanatudhsrau
Huu ni ushindi kwa Makapuku wote![]()
![]()
GOD BLESS KAPUKUZ
.....................
HoyeeeeMakapuku oyeeeee
Utulie uache michepukounanitafutia sababu mke me mbona sipo hivo
Niachie P wangu nahrene au tubadilishane?Usijali jamani. Sijauliza kwa ubaya, nampenda yeye tu
Nakuamini lakini nataka nijiridhishe tu.Kwani huniamini baby?