Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Hahaha,mbona huna msimamo!hiyo noma mdau
Hahaha,mbona huna msimamo!hiyo noma mdau
Hahahaha umenifurahisha sana aiseeYuko prayer room, nimemwambia azime cmu
Sasa mi nimezoea kutoa like. Unanipa tabu kwelihiyo noma mdau

Ha Haaaa........ Nakuletea spanangoja niset chaga fresh
kawaida yangu, si unajua watoto wazuri tumeumbiwa sisi, teh!Peterchoka naona umeanza kupima kina
Acha tufurahie penzi letu
Kwa lipi mkuuHahahaha umenifurahisha sana aisee
Hatuja pinga ila kuna taratibu hazikufatwa na nyingine zilikiukwa.
Nikiwa kama katibu Wa mahusiano humu kaupku forum kwa mamlaka niliyonayo nimetangaza kuifuta
Hivvyo Basi kapuku wote.muwe wavumilivu paka itakapo tangazwa tena.
Signature
Sumbai Jecha
Katibu Wa mahusioano,kapuku forum
jechaShem sijambo nilipotea kidogo kupoza machungu maana humu full kunitesa na hili mvua balaaShemdalring hujambo.
Everlenk rushaford

Leo sidhani, ule usingizi wa jana bado ninao mpaka sasawe muda wako bado bhana![]()
Ndoa lazima iwepo maana nimepigania sana mpaka wamekuwa pamojaHuwezi mkuu soma warumi 8:31 huu ndio msingi wake huwezi zuia mkuu
fanya ivoHa Haaaa........ Nakuletea spana
basi na mimi nalalaLeo sidhani, ule usingizi wa jana bado ninao mpaka sasa

ndio honey..Wali wa nazi na samaki wa kuungwa kwa nazi..KaribuSawa nimekuelewa mpenzi wangu. Umeivisha tayari lakini?
Kwasasa Makapuku ndio habari ya mjini....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tumetisha mbayaaaaaa
Sio kwa kutetea na kulindana hukuHahahaha umenifurahisha sana aisee