Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Typing errorLione hata kuongea, halijui..
Nakupungia nawe PUNGA
.......
Typing errorLione hata kuongea, halijui..
Nakupungia nawe PUNGA
Unafungulia silaha zote za maangamizi.. Kisha unampa kadi nyekunduhata mi ningemaliza kwanza na game la kibabe mkuu.. Unaanzaje kumtukana mamba hujavuka mto?
Kwani mkuu we usingepiga game ya kuagia kwanza??Unafungulia silaha zote za maangamizi.. Kisha unampa kadi nyekundu
Kosa hili linawatesa wengi mnooUko sahihi kabisa chief
yani kama hujaona vile unajikausha nywiiii... Mana ukijidai kulianzisha jua ndo hupati ng'ooo
Ni kweli asee, watu wanalizwa sana na hiliKosa hili linawatesa wengi mnoo
Hapana sijakosea, hata angekuwa kiwete mkuu.. Kama mwanamke anakujali, anakuheshim na kukuthamin usimuache aende, chukua huyo, usiangalie kasoro za kimaumbile anaglia kasoro za kiroho.. Jitu lina roho mbaya kwa familia yako, hakujal wewe anajali pesa zako, ana tamaa.. Hafai kuitwa mrs makaveli..Mbona umeoa demu mwenye kengeza,chogo na matege
Hujakosea?
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Hela.. Pesa.. !!?Typing error
.......
Lazima, si ndio game yenyewe unaipiga ya uhakika.. Akikaa papuchi ikiwasha anaona mtalimbo wako ndio unafaa, kichuchu sijui kikisisimuka anakumbuka kaulim kako, sijui nin anakukumbuka wewe tu, jinsi ulivyotreat mwili wake, akiwa anaosha kipapuchi, anahisi kama tuvidole twako tunatembea au limi linafanya kazi yake.. Hata akiwa na jamaa yake anaona there is something is missing.Kwani mkuu we usingepiga game ya kuagia kwanza??
Mnoo mkuu..Ni kweli asee, watu wanalizwa sana na hili
Ni ngumu sana kuacha aiseeZen atarudia km kawa
Kuacha unga haiwezekani ukizhakuwa teja ndo ushaliwa
Dawa kutojaribu
........
Umesema vyema sana mkuu brizWakati mwingine ni bora maumivu ya pesa tena kwa muda mfupi tu kuliko maumivu ya mapenzi maishani
Na siku hizi mabomu ni mengi sanaUkiingiza bomu chumbani.....utalala uani
![]()
![]()
![]()
............
Kuna wengine wanajua kukomaa balaaDawa ni kupiga tu chini mkuu, hakuna haja ya kuendelea na hicho kichomi
Ni kupatwa kwa taya or just men at work?Na hawa je?View attachment 396249