Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Aisee acha utani na mali za watu.pendo lako kwangu
Aisee acha utani na mali za watu.pendo lako kwangu
Amen amen amenAmaizing tulianza kwa maombi kama kuna upinzani tuombe utaisha usijimalize dear
Huku tunasikiliza slow music baby
Hahaha.Mbona mi nakupenda Shem wangu au pendo gani unataka wewe?
Sawa nimekuelewa mpenzi wangu. Umeivisha tayari lakini?pole hny.C unajua mda mwingine nkiingia jikoni inabid simu ikae pembeni
KhaaaaHatuja pinga ila kuna taratibu hazikufatwa na nyingine zilikiukwa.
Nikiwa kama katibu Wa mahusiano humu kaupku forum kwa mamlaka niliyonayo nimetangaza kuifuta
Hivvyo Basi kapuku wote.muwe wavumilivu paka itakapo tangazwa tena.
Signature
Sumbai Jecha
Katibu Wa mahusioano,kapuku forum
Yuko prayer room, nimemwambia azime cmuAmen amen amen
Ila manuu kaondoka bila kuaga
Hajarud had saiz
Hatuja pinga ila kuna taratibu hazikufatwa na nyingine zilikiukwa.
Nikiwa kama katibu Wa mahusiano humu kaupku forum kwa mamlaka niliyonayo nimetangaza kuifuta
Hivvyo Basi kapuku wote.muwe wavumilivu paka itakapo tangazwa tena.
Signature
Sumbai Jecha
Katibu Wa mahusioano,kapuku forum
sumbai jecha mbona umeingilia majukumu ambayo Sio yakoYes baby!Huku tunasikiliza slow music baby
Poa kuanzia sasa nakugongea kitufe cha like mara mbili*oya notification zimejaa sitaki like ya mtu saivi, nikaushieni
Peterchoka naona umeanza kupima kinapendo lako kwangu
jambilo njoo uokoe jahazimganga kaniambia nkitaka kuwa tajiri niue mtu mwenye Damu Changa.
na nmeahampata hvyo tegemeeni kuona kuna mtu mnamkosa hapa
![]()
![]()
![]()
![]()
.................
MmmhhhhYuko prayer room, nimemwambia azime cmu
Huyu kijana anaanza kunyemelea wake za watu.Peterchoka naona umeanza kupima kina
hiyo noma mdauPoa kuanzia sasa nakugongea kitufe cha like mara mbili*
Huwezi mkuu soma warumi 8:31 huu ndio msingi wake huwezi zuia mkuu