makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,866
- 104,062
AchanteePoyeee....
AchanteePoyeee....
Nimeelewa somo..... Siunajua malimbukeni wa JF tuna matatizo!! Ila nimejirekebisha sitarudia tena..... Na nitakuwa MUSTAARABU mpaka ukamilifu wa dahari ya KF.Mkuu ustaarabu ni kitu muhimu
Mfano mtu umeingia umekuta post 200 zinazokuhusu
Je utareply zote?
Mstaarabu ataquote 5 tu
Hapa ni sehemu ya kujanja tuwe wajanja
Jisikie poa lakini.
Huu uzi unasomwa na watu wengi
.............................
Weka pichaUchochezi![]()
![]()
![]()
![]()
Kwan uongo!!!?Uchochezi![]()
![]()
![]()
![]()
Ndoto nyevu...Heeee unaikana kauli yako??....au ulikuwa unaota!!!!![]()
SawaNimeelewa somo..... Siunajua malimbukeni wa JF tuna matatizo!! Ila nimejirekebisha sitarudia tena..... Na nitakuwa MUSTAARABU mpaka ukamilifu wa dahari ya KF.
Ahsante kwa muongozo.
MpotezeePole sana kamanda. Nitazifuta zote nikipata muda
Sawa sawa kamanda Bitoz, nineelewa. Naahidi mabadiliko CHANYAIshu sio kufuta tu bali kujirekebisha
......................
Weka picha
Demu wake ni nani?Lez--------bian
Jana nmepona kidogo kwenye ajali.. Km final destination vileNimeanza kuombaaaa
Sasa inabidi uende tu hospital jirani, sio kwa kusahau hukoKwan uongo!!!?
Afu Jj mbona magazeti siyaoni au nimepoteza kumbukumbu!!??
Sijaamka salama...nahisi nimepoteza kumbukumbu sikumbuki hata jana nilifanya kitu ganShukran.. Vip we umeamka salama..






ChakulaKumbe alikuwa analiwa...
R I P
GeniusAmani iwe nawe. Sitarudia tena
Kaishaelewa mkuuMkuu ustaarabu ni kitu muhimu
Mfano mtu umeingia umekuta post 200 zinazokuhusu
Je utareply zote?
Mstaarabu ataquote 5 tu
Hapa ni sehemu ya kujanja tuwe wajanja
Jisikie poa lakini.
Huu uzi unasomwa na watu wengi
.............................
Rudi nyuma nimeshawekaKwan uongo!!!?
Afu Jj mbona magazeti siyaoni au nimepoteza kumbukumbu!!??



