Makapuku Forum

Hongera sana madame kwa kufikia 100k.
 
UCHOCHEZI
 
Humu ndani kuna mchawi wangu, jana hivi hivi nilikuwa navutwa shati wakati naikimbiza 100k....na lazma atakuwa Jonax
, nimelala kwa mawazo sana! haiwezekani msoc wangu nimeutelekeza ukapoa kwa ajili ya kufukuzia mwisho wa siku nikatoka na Nunge! wajanja mkawa mnatupia herufi moja moja kuitegea! mi naandika tu...mchawi mwingine ni yule Anajiita Nsekwa...alisema nimshike mkono ndio akanipunguza speed...
. Aaaaargh.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…