Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Ubarikiwe kakaUbarikiwe sana mkuu, hongera tena nilikua wa kwanza kukupa hongera sema usingeweza kuiona iko karibu na 100k
Ubarikiwe kakaUbarikiwe sana mkuu, hongera tena nilikua wa kwanza kukupa hongera sema usingeweza kuiona iko karibu na 100k
hahahaha...usinichekeshe mkuuCc Jonax
HahaaaaaHongera za pekee ziende kwa Katibu wangu kwa 100k, Nilianza mimi kwa 50k yeye amefata kwa 100k.
Kama ni tuzo mpaka sasa [HASHTAG]#TeamWekaPicha[/HASHTAG] kabati letu liko vizuri kwani tuzo zipo mbili.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sielewi sio Jj??Aisee..Haikuwa bahati yangu.
Nichukue nafasi hii kumpongeza Jimena kwa 100k.
Tulikuwa wengi lakini Mshindi ilibidi awe mmoja. Hongera sana!!
Pamoja sana kiongoziKwa makapuku wote;
Napenda kutoa shukrani za dhati kwenu wote kwa mchango wenu wa katika uzi huu pendwa,
Ambao leo umeweka REKODI ya uzi wenye posts nyingi zaidi jf.
Zaidi ya yote pia napenda kuwashukuru kuniwezesha kuwa mshindi wa post ya 100,000, isingekuwa ushindani wenu mlioutoa nisingeweza kuwa mshindi,
Bitoz asante kwa ubunifu,
Jimena shukrani kwa chango wako kwa kufanikisha uzi huu kwa ushauri wako,
Billy5 nawe umehusika sana,
Wanachama hawa pia wamekuwa mstari wa mbele katka kusukuma uzi huu;
Musolin5 a.k.a dikteta
Briz..a.k.a baba jj
Shululu a.k.a simba mwenda pole
Sweetiepie...???
Na wengine wengi.
Ushauri
Tuendelea kushikamana zaidi wanduguu
Kama Super subPole uliingia kwa mkwara sana
Tuitafute sasaHazijaisha
Kuna 150k inakuja
Majuto ni mjukuuDah yan nimeikosa kidogo tu 99999.. Duh!
Pombe wa Chatle?Mm ntailaumu pombe tu na si kingine
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Love you kipenzi chake...Mwaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Mi nilikuwa busy naitafuta 100k...ulikuwa unasemaje Caspary?
Iron lady...JJNan kaichukua
hadi aibu...Bepari umeliwa
![]()
![]()
![]()
.........
Ngoja tumtafute aliyetuma aitume tenaKuna picha naitaka ya mbwa paka ndio mpiga picha
Huna bahatiNiliitamani sana hiyo 100k ilivyonipita hata sijategemea
Pamoja sana na naunga mkono hojaNimefurahi sana jinsi forum ilivyokuwa busy kila mmoja akipambana kutaka kuingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kwa kupata 100k.
Huu ni ubunifu wa pekee ambao pengine sisi ndio waasisi hapa JF.
Tuendelee na KF yetu, maana ndio uzi pekee uliofikia Milestone ya 100k toka kuanza kwa JF miaka 10 pekee.
Tuzidi kushirikiana kwani kwa sasa tupo kama ndugu, ingawa hatujuani kwa sura lakini upendo uliopo ni Mkubwa sana!
Pia nawakumbuka sana wenzetu walioishia njiani kama Szczesny naomba 100k iwe kwa heshima yake!
Ni wenu Mussolin5
a.k.a
Dikteta
Komredi
Bepari
Mwenyekiti.
Ahsanteni sana, amani iwe kwenu.