Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimefurahi sana jinsi forum ilivyokuwa busy kila mmoja akipambana kutaka kuingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kwa kupata 100k.

Huu ni ubunifu wa pekee ambao pengine sisi ndio waasisi hapa JF.

Tuendelee na KF yetu, maana ndio uzi pekee uliofikia Milestone ya 100k toka kuanza kwa JF miaka 10 pekee.

Tuzidi kushirikiana kwani kwa sasa tupo kama ndugu, ingawa hatujuani kwa sura lakini upendo uliopo ni Mkubwa sana!

Pia nawakumbuka sana wenzetu walioishia njiani kama Szczesny naomba 100k iwe kwa heshima yake!

Ni wenu Mussolin5
a.k.a
Dikteta

Komredi

Bepari

Mwenyekiti.

Ahsanteni sana, amani iwe kwenu.
Bonge la speech, pamoja sana bepari
 
Nimefurahi sana jinsi forum ilivyokuwa busy kila mmoja akipambana kutaka kuingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kwa kupata 100k.

Huu ni ubunifu wa pekee ambao pengine sisi ndio waasisi hapa JF.

Tuendelee na KF yetu, maana ndio uzi pekee uliofikia Milestone ya 100k toka kuanza kwa JF miaka 10 pekee.

Tuzidi kushirikiana kwani kwa sasa tupo kama ndugu, ingawa hatujuani kwa sura lakini upendo uliopo ni Mkubwa sana!

Pia nawakumbuka sana wenzetu walioishia njiani kama Szczesny naomba 100k iwe kwa heshima yake!

Ni wenu Mussolin5
a.k.a
Dikteta

Komredi

Bepari

Mwenyekiti.

Ahsanteni sana, amani iwe kwenu.
Asante, inahitaji moyo maana nimeshawahi kujiunga mwanzoni mwanzoni hata kabla ya kufika 1000, nikashindwa na kasi, sijui kama kwa sasa ntaweza tena
 
Nimefurahi sana jinsi forum ilivyokuwa busy kila mmoja akipambana kutaka kuingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kwa kupata 100k.

Huu ni ubunifu wa pekee ambao pengine sisi ndio waasisi hapa JF.

Tuendelee na KF yetu, maana ndio uzi pekee uliofikia Milestone ya 100k toka kuanza kwa JF miaka 10 pekee.

Tuzidi kushirikiana kwani kwa sasa tupo kama ndugu, ingawa hatujuani kwa sura lakini upendo uliopo ni Mkubwa sana!

Pia nawakumbuka sana wenzetu walioishia njiani kama Szczesny naomba 100k iwe kwa heshima yake!

Ni wenu Mussolin5
a.k.a
Dikteta

Komredi

Bepari

Mwenyekiti.

Ahsanteni sana, amani iwe kwenu.
Amani kwako mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom