Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Huyu mtoto akikua baba lazma ataanza nae.View attachment 394912 Sijamuelewa huyu baba....
Wampendelea tu huyo.View attachment 394906
Star wa mastar wa england
View attachment 394906
Star wa mastar wa england
Acha kumpakaziaHuyu ni serial killer anayetafutwa kule............
Hakunaga tenaNiaubirie octoba mosi![]()

imetangazwa rasmi bana Huyu bitoz na kingereza chake cha kwa ras simba.. Anajikuta anajua..
Usikute hapa tumemsaidia "homework" yake
![]()
![]()
![]()





Huu mchanganuo ni batili mkuu... 100k ntaitupia kesho mishale ya sita mchanaKAPUKU YEYOTE MWENYE UCHU ALIKUWA NA UWEZO WA KUTUPIA 100K KABLA YA LEO SAA 12 NA NUSU ASUBUHI
100000-98588=1412
{posts mpaka 100k kabla ya saa kumi na mbili na nusu asubuhi kuanzia sa saba na dk49 usiku}
06:40:00-01:49:00=04:51:00
{masaa manne na sekunde 51 bila member yeyote kuchangia}
4*3600+51*60=17460
17460/1412=12.3654390934
{muda wa kuandika na kutuma post moja [kila sekunde 12.365.....] kuanzia hiyo saa 7 na dk 49 usiku}
12*1412=16944
{kwa kutumia muda usiozidi sekunde 12 TU}
17460-16944=516 516/60=8.6=>8:10
{zinabaki dk 8 na sekunde 10 mpaka unamaliza tukio zima}
=>6:29:50
{mpaka leo saa 12 na dk 29 na sekunde 50 TUU, 100k inakuwa imeishatumbuliwa}
cc:all kapukuz Mussolin5 jonax briz Jimena Bitoz Bailly5 shululu Sweetiepie Cobblepots makaveli10 nk
Wenu,
Tetramelyz ahsanteni


Kuongea ukweli kabisa bila unafiki...Costa kwa makadirio ya haraka haraka amezaliwa early 70s kwa muonekano wake.
Maana inakuwaje anampa kiss la namna hiyo huyo mtoto![]()
![]()
umemwelewa
Fundi huyo![]()
![]()
imetangazwa rasmi bana
Halafu mbona unamfata fata sana costa mwache mnyama huyo mabeki na makipa wajiandae

Hongera zao kwa mzee wa bikra1968 - Swaziland yajipatia Uhuru wake.

Nilikua mmoja wapo kati ya hiyo 2.5b1997 - Mazishi ya Princess Diana yanafanyika huko London ambapo waombolezaji zaidi ya Milioni 2 walijitokeza katika mitaa kutoa heshima zao za mwisho.
Watu zaidi ya Bilioni 2.5 walifatilia Mazishi hayo kupitia Luninga zao.
Kama kuna ukwel hapoKuongea ukweli kabisa bila unafiki...Costa kwa makadirio ya haraka haraka amezaliwa early 70s kwa muonekano wake.

Ni vipi mkuu?Mbaya sana
Dah! Mateso bila chukiHii sasa ni zaidi ya neno "mapenzi niue View attachment 394804"
Ni poa sana shemelaHello my shem