shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Je nikitupia mimiUkitupia ww sikuweki Kapuku Guinness Book ng'o
![]()
![]()
![]()
..............

Je nikitupia mimiUkitupia ww sikuweki Kapuku Guinness Book ng'o
![]()
![]()
![]()
..............

StarTv?Yule aliyekuwa bingwa wa kurusha mikutano ya CCM live account zake za bank zimefungwa na TRA, anadaiwa 4B kama kodi
Tunaisoma no
Intelligence yetu inaonyesha usalama haupo kwenye hayo maandamanoKaandamane
![]()
![]()
![]()
..........

Ndiyo huyo huyoStarTv?
Acha mafumbo si umtaje
.......
Hahahaha tutaona sasa hizo fitna zakowakati mwengine kwenye ushindani lazima kuwe na fitna kidogo
Asante sanaAsante kipenzi, skiza huo wa miley cyrus mi ndo huyo mchizi humo ndani![]()
![]()
Uko poa lakini AnkaliAsante sana![]()
Nimepata burudani
Ze grupu of biizKm ww msomi niambie kundi la nyuki kwa kiingereza linaitwaje
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
................

Nmefika bingwa wa kingereza afrika mashariki na kat ulimwengu mzima..Cc makaveli
Nmefika bingwa wa kingereza afrika mashariki na kat ulimwengu mzima..Cc makaveli
Naenda kumuuliza dogo wa English medium school
![]()
![]()
![]()
.........
Huyo mwanangu mwenyewe anasoma international nyama wee...Naenda kumuuliza dogo wa English medium school
![]()
![]()
![]()
.........

Google!!!!Makaveli yupo Google sasahivi
Google!!!!Makaveli yupo Google sasahivi

Ukisikia nongwa ndio hiz wallah.. Hiv vitoto vya nyongeza kwenye familia.. Vinakuwa na nongwa km mtoto wa mganga.. Au gubu la mke mwenza.Ukitupia ww sikuweki Kapuku Guinness Book ng'o
![]()
![]()
![]()
..............
Huyu bitoz na kingereza chake cha kwa ras simba.. Anajikuta anajua..Sasa si ataenda ku google?

Na nimefika kidume...Subiri aje uone mbwembwe
![]()
![]()
![]()
...............
Cc bitozGoogle!!!!
Mie niko tabora bhana, huko google ninapasikia tu, ila ntajitahid nikirud dar nifike huko google,maana siku hiz kila mtu mtaani anapataja google..
![]()
![]()
Google!!!!
Mie niko tabora bhana, huko google ninapasikia tu, ila ntajitahid nikirud dar nifike huko google,maana siku hiz kila mtu mtaani anapataja google..
![]()
![]()