shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Sasa tuambie kwa nini amehama mjiniYani kaamua kuondoka hadi mjini
Sasa tuambie kwa nini amehama mjiniYani kaamua kuondoka hadi mjini
Ana mchezo wa kiduanzi sanaaa
Unafanana sana na mwanao
Sio kwa kununa hukoSenkyuuuu so machiView attachment 394901
Itapendeza tukisherekea miezi mi5 ya KF TAR 09 huku tukiwa na reply LAKI MOJA na VIEWS KARIBIA 1M
Makapuku oyeeeee
..............

Hii ni story ya kutengenezwa kabisa
Quigley huyo, sijui anataka niniNini tena?
Umemuona sasa alikofikaEeeeeh.....
Unasemaje???Wamebaki wazungu tu wapenda wembamba.
Haha mbona unaanza kukata tamaa mapema?Kuna watu wako kwa waganga saa hizi, sidhani kama ntaweza kuwasuuza kwenye huu mtanange kirahisi hivoo...labda wewe
Maana inakuwaje anampa kiss la namna hiyo huyo mtoto


kuna mmoja kamgeuza mwanae mkewe na kumwambukiza ukimwi Vijana wanasumbuliwa na wivuHana jina
![]()
![]()
![]()
... .....
Unamuelewa tuView attachment 394912 Sijamuelewa huyu baba....
Hahaha, batili kivipi? Yani mkajiroga leo wote kulala kabla 100k haijabikiriwa....basi mkiamka mtakuta nimeshaharibu😀😀😀🙂Huu mchanganuo ni batili mkuu... 100k ntaitupia kesho mishale ya sita mchana![]()
Duh! Hii nayo kaliHuyu mtoto akikua baba lazma ataanza nae.
Washangiliaji unao?Huu mchanganuo ni batili mkuu... 100k ntaitupia kesho mishale ya sita mchana![]()
Leo umeongea point sana jiraniKuongea ukweli kabisa bila unafiki...Costa kwa makadirio ya haraka haraka amezaliwa early 70s kwa muonekano wake.