Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Leo kuna kimvua wadau wapo bizeLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa 100k tukutane tena kesho.
byeee
..........
Leo kuna kimvua wadau wapo bizeLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa 100k tukutane tena kesho.
byeee
Mbaya sana1972 - Mauaji ya Munich, ambapo Kikundi cha kigaidi cha Kipalestina cha Black September kinawaua wanamichezo 9 wa Israel waliowateka siku moja kabla.
Nami natamani kujuaWa nchi gani
Sana tu
Sema jonaxMambo ya tozi nyangema hayo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Labda nngependa kuwatahadharidha kuwa msijisumbue kupoteza muda wenu kuwania post ya 100k.Sema jonax

KARIBUMhhhh ahsante kwa tathmini hii budaa
Hehehee,hahaha...
Sawa tuLabda nngependa kuwatahadharidha kuwa msijisumbue kupoteza muda wenu kuwania post ya 100k.
Hii ni yangu kabisa maana nmeandaa mkakati au mipango kabambe kabisa ya kuinyakua.
Nitatumia hila pamoja na fitna kibao ili niinyakue tu
ASANTENI...!View attachment 394769![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sawa tu
Baaada ya kuinyakua kuna nn tena!
Nitafurahi sana.
Hii nayo kali
Ulipata mateso sana aiseeHii sasa ni zaidi ya neno "mapenzi niue View attachment 394804"
Ngoja tuoneLabda nngependa kuwatahadharidha kuwa msijisumbue kupoteza muda wenu kuwania post ya 100k.
Hii ni yangu kabisa maana nmeandaa mkakati au mipango kabambe kabisa ya kuinyakua.
Nitatumia hila pamoja na fitna kibao ili niinyakue tu
ASANTENI...!View attachment 394769![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Duuuh wanatisha sana
Missing you jiraniBeki kisiki
Huyu ni wa nchi gani
