Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Nasikia wanachemshaNilikua sijui kama kinaliwa, sasa kinaliwaje kinapikwa ama?![]()
Nasikia wanachemshaNilikua sijui kama kinaliwa, sasa kinaliwaje kinapikwa ama?![]()
😀😀😀😀kweli kabisa huwa tunajifanya watu wa vurugu Ila ikipigwa hata baruti tu humuoni mtuVita tuiskie tu kwa wenzetu asee mana sisi huku tairi ya gari tu ikipasuka tunatafutana![]()
MAKAPUKU'S HOMELAND VIBES: REMINISCING AFRICA'S FINNEST
1. Sambolera- Khadija Nin
https://youtu.be/3lpuMD_zJCY
2.Woman- Juliana Kanyomozi
3.Pray for me- Darey ft Soweto Gospel Choir
4. Sirimba- Ngoni ft Jaydee
5.Wish me well- Timi Dakolo
6.Unajua- Gilad ft Wendy Kimani
https://youtu.be/lhkslaPN-_4
7. Plus Vivant- Lokua Kanza
8.Tiff- Simi
9.Jailer- Asa
10. Haturudi Nyuma- Kidumu ft Juliana Kanyomozi
https://youtu.be/tw2Ky9mDvOA
11. Na gode- Yemi Alade
12. Nerea- Sauti Sol ft Amos & Josh
13. We are Africa- Rubunhu
https://youtu.be/dc0dubuoyYc
Hizi ni za jana. Ilibidi niziweke nikashindwa.
CC; Jimena , Sweetiepie , briz , shululu , Bitoz , werrason , makaveli10
Naona tayari wapendanao mmeshaambukizana hyo lugha yenu uchwarerWeka picha![]()
Haya nawe piaUsiku mwema
Na kwako pia BepariUsiku mwema
Achana na maroboti weweRobot vs andunje...
Hardwork vs talented.
Team inazidi kukuaNaona tayari wapendanao mmeshaambukizana hyo lugha yenu uchwarer
View attachment 394307
Hili ni FumboSio kila mtu anaishi kutafuta utajiri. Wapo watu wengi sana wanafurahia kuwa na elimu nzuri na kutumikia jamii. Ndiyo maana tuna madaktari, marubani, waandishi wa vitabu na kadhalika. Hakuna hata nchi moja iliyoendelea kwa kuwa tu na matajiri. Nchi zinaendelea kwa kuwa na wasomi wazuri, hivyo kuwa na wahandisi, wanasayansi, madaktari na kadhalika. Mwisho mtu akikwambia Sio vizuri kuwekeza kwa ujumla katika elimu ya darasani, mwambie akatibiwe kwa madaktari uchwara ambao hawakujielimisha vizuri au apande ndege yenye rubani ambaye alikuwa anakacha masomo. Usichezee elimu, na tusidanganyike na hawa motivational speakers
............................................
Mi nahisi inazungumziwa maendeleo ya nchi sio mtu
.............................................
Weka pichaHaya kalale
![]()
![]()
![]()
.............
Weka picha
MAKAPUKU'S HOMELAND VIBES: REMINISCING AFRICA'S FINNEST
1. Sambolera- Khadija Nin
https://youtu.be/3lpuMD_zJCY
2.Woman- Juliana Kanyomozi
3.Pray for me- Darey ft Soweto Gospel Choir
4. Sirimba- Ngoni ft Jaydee
5.Wish me well- Timi Dakolo
6.Unajua- Gilad ft Wendy Kimani
https://youtu.be/lhkslaPN-_4
7. Plus Vivant- Lokua Kanza
8.Tiff- Simi
9.Jailer- Asa
10. Haturudi Nyuma- Kidumu ft Juliana Kanyomozi
https://youtu.be/tw2Ky9mDvOA
11. Na gode- Yemi Alade
12. Nerea- Sauti Sol ft Amos & Josh
13. We are Africa- Rubunhu
https://youtu.be/dc0dubuoyYc
Hizi ni za jana. Ilibidi niziweke nikashindwa.
CC; Jimena , Sweetiepie , briz , shululu , Bitoz , werrason , makaveli10
Hahaha ndo mapenzi hayo nduguNaona tayari wapendanao mmeshaambukizana hyo lugha yenu uchwarer
View attachment 394307
Nadhani ni tatizo lilijitokeza ndio maana baadhi ya nyimbo zimejirudiaShukrani kaka kwa burudani lakini kuna namba zinakosekana.. Hizo namba 7 na 8 nimezikubali sana japo siielewi hiyo lugha
Ndiyo kujihami kwenyeweSijajihami Bali nimetoa taarifa