Makapuku Forum

Makapuku Forum

Poa poa mkuu.
Mzima wewe?
Mzima sana

Nadhani uko studio sasa Dj Cobblepots ukiweka mambo sawa ili burudani iendelee hapa hapa Makapuku Forum
Ngoja niweke wadhamini
1473100777747.jpg
 
Sio kila mtu anaishi kutafuta utajiri. Wapo watu wengi sana wanafurahia kuwa na elimu nzuri na kutumikia jamii. Ndiyo maana tuna madaktari, marubani, waandishi wa vitabu na kadhalika. Hakuna hata nchi moja iliyoendelea kwa kuwa tu na matajiri. Nchi zinaendelea kwa kuwa na wasomi wazuri, hivyo kuwa na wahandisi, wanasayansi, madaktari na kadhalika. Mwisho mtu akikwambia Sio vizuri kuwekeza kwa ujumla katika elimu ya darasani, mwambie akatibiwe kwa madaktari uchwara ambao hawakujielimisha vizuri au apande ndege yenye rubani ambaye alikuwa anakacha masomo. Usichezee elimu, na tusidanganyike na hawa motivational speakers
............................................
Mi nahisi inazungumziwa maendeleo ya nchi sio mtu
.............................................
 
MAKAPUKU'S HOMELAND VIBES: REMINISCING AFRICA'S FINNEST

1. Sambolera- Khadija Nin

https://youtu.be/3lpuMD_zJCY
2.Woman- Juliana Kanyomozi


3.Pray for me- Darey ft Soweto Gospel Choir


4. Sirimba- Ngoni ft Jaydee


5.Wish me well- Timi Dakolo


6.Unajua- Gilad ft Wendy Kimani

https://youtu.be/lhkslaPN-_4
7. Plus Vivant- Lokua Kanza


8.Tiff- Simi


9.Jailer- Asa



10. Haturudi Nyuma- Kidumu ft Juliana Kanyomozi

https://youtu.be/tw2Ky9mDvOA
11. Na gode- Yemi Alade


12. Nerea- Sauti Sol ft Amos & Josh


13. We are Africa- Rubunhu

https://youtu.be/dc0dubuoyYc
Hizi ni za jana. Ilibidi niziweke nikashindwa.

CC; Jimena , Sweetiepie , briz , shululu , Bitoz , werrason , makaveli10

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom