briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Kuna yule dogo wa syria Omran unaambiwa ana miaka mitano tu lakini akiskia bomu limepigwa hapo nje wala hashtukikweli mkuu! Huko Syria ni kitu cha kawaida kwao
Kuna yule dogo wa syria Omran unaambiwa ana miaka mitano tu lakini akiskia bomu limepigwa hapo nje wala hashtukikweli mkuu! Huko Syria ni kitu cha kawaida kwao
Daah inasikitishaKuna yule dogo wa syria Omran unaambiwa ana miaka mitano tu lakini akiskia bomu limepigwa hapo nje wala hashtuki
SafiNia ninayo, nguvu pamoja na uwezo![]()
Sio mimi, tatizo ni bahati niliyobarikiwa.Duuuh we jamaa unapenda sifa
![]()
![]()
![]()
............
Huyo mtoto kashazoea masikiniKuna yule dogo wa syria Omran unaambiwa ana miaka mitano tu lakini akiskia bomu limepigwa hapo nje wala hashtuki
Vita noma sana tuombe tusifikie hukoDaah inasikitisha
Isikie kwa jiraniVita noma sana tuombe tusifikie huko
Tutashinda.Nikishindwa ntakuachia wewe sitaki iende nje ya familia yangu![]()

Bahati gani inatokea kila sikuSio mimi, tatizo ni bahati niliyobarikiwa.
Weka picha![]()
Ila natumaini Tanzania itakuwa salama siku zoteIsikie kwa jirani
Ndo mana tunamsihi mr uchwarer aachane na mikwaraIsikie kwa jirani

Ndo mana nakupendagaTutashinda.
Kifamilia zaidi![]()
![]()
