Makapuku Forum

Makapuku Forum

Am very sorry, sina jinsi, nakupa maisha yale unayoyataka, acha nikuache huru uishi maisha yako, jambo zuri niwezalo kulifanya kwa mwanamke nimpendae ni kumpa ile furaha ya moyo wake, furaha ya maisha yake.. I cnt hold u no mo.. Its the time to giv u a happiness.


Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
 
No! Si rahisi, trust me, huwez rudisha muda. Imetosha cwt p, Hakuna kitakachoweza kunibalisha kwa sasa, nakupenda kwa dhat thats y nakupa nafasi uishi maisha yako, nilikupenda, nakupenda, n ntazid kukupenda, every step u step, u wl b stepping with my love, mapenz yangu kwako yalikuwa ya ukweli naona may b hukujua..

Anyway kiza kinaanza kutanda bye cwt p wangu..


Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke mnafk wewe.. Nmekwambia jiandae twende kwa mkweo anakuhtaji ukavunga vunga, kumbe nia na madhumun upate kutoka na Quigley....

Sasa chukua kila unachoona kinakufaa na unachoweza kubeba ondoka navyo.. Mie niachie roho yangu tu na nyumba yangu, napiga simu hone shemej yako alete ile canter ubebe unavyovihitaji nikusindikize nyumban..
seriously?? Pigania hilo pendo arifu..Mambo mazuri ni lazima upiganie
 
Kuna siku tu utajisahau utaturushia sura yako ya kweli...kijana wa mujini....
Haya nmejisahau..
1473001807913.jpg
hiyo hapo sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom