Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
Itabidi utafutiwe mke wa kisukumaWasukuma timu yao tu jina bayaaa
![]()
![]()
![]()
..........
Tanga ndo mpangoItabidi utafutiwe mke wa kisukuma
Ili upunguze kuwasema
Cc sweetiepie
No! Si rahisi, trust me, huwez rudisha muda. Imetosha cwt p, Hakuna kitakachoweza kunibalisha kwa sasa, nakupenda kwa dhat thats y nakupa nafasi uishi maisha yako, nilikupenda, nakupenda, n ntazid kukupenda, every step u step, u wl b stepping with my love, mapenz yangu kwako yalikuwa ya ukweli naona may b hukujua..
Anyway kiza kinaanza kutanda bye cwt p wangu..![]()
![]()

Tupo mkuu vipi za midaNawasalimu sana, habari za kitambo wandugu..
Harudi tena huyo...nilikuwa nachat na Quigley tu Quigley akanambia ananipenda nikamjibu mimi pia. Basi hapo ndio majanga yalipoanziaKwan umefanyaje shem lake? Em niambie ukweli ujue nnaweza nikamrudisha huyu jamaa

Huyu jamaa mbona simuelewi!!
Naona umefurahi mwenyewe!!!Haya sasa.. naona mbio za kijiti zimepamba moto kwel..
Tayari kijana umeshaachIa kijiti sasa sijui ni nani atayekipokea..
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 393537



Ndio yeye kweli huyo...ila tu ameitengeneza imekuwa mbayaaaaCc sweetiepie
Heheheeee.....ataweza kula ugali wa udaga mgumuu na nyama isiyoungwa asubuhi asubuhi?!!Itabidi utafutiwe mke wa kisukuma
Ili upunguze kuwasema
Cc sweetiepie
Wewe kama yule aliyebebwa mgongoni na yule dada....Tanga ndo mpango
..........





Baiskeli ya mbao hiyo