Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mwanamke mnafk wewe.. Nmekwambia jiandae twende kwa mkweo anakuhtaji ukavunga vunga, kumbe nia na madhumun upate kutoka na Quigley....

Sasa chukua kila unachoona kinakufaa na unachoweza kubeba ondoka navyo.. Mie niachie roho yangu tu na nyumba yangu, napiga simu hone shemej yako alete ile canter ubebe unavyovihitaji nikusindikize nyumban..
Seriously nimecheka sanaaaa!!!
 
Wakuu habari zenu? kuna huu uzi hapa unaitwa Makapuku naona umekuwa maarufu sana ila kwa bahati mbaya sijui unahusika na nini.Nimejitahiji sana kuufuatilia ila nimebaki mataa....Ebu nielezeni lengo, wahusika na maana halisi ya Makapuku forum Bitoz Jimena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom