Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Jimena, huyu shululu ni ndumilakuwili.Cc bitoz
Safi sanaaa
Leo anapika yeye....tulikubaliana tangu jana.Hujanielewa jirani, maana yangu arudi nyumbani akupikie chakula cha jioni
Mtu kama huyo hadi aibu kuongozana nae maana mwisho wa siku wewe ndio utaonekana mwanaume sasa!!!Handsome mpaka mwisho
Woyoooooo!!!And over my sexy dead body![]()
![]()
![]()
Jaman mumuache jirani yangu tumetoka nae mbali.Jimena, huyu shululu ni ndumilakuwili.
Km dadachokaHamna mi wanaume nawaelewa sana na nawakubali mna urafiki hadi wa kufichiana uovu, wanawake wengi ni umbea umbea tu!! ukikuta mwanaume mmbea ujue ana element za ushoga.
Kijijin kwetu unapajua we nyamaAFURIKAAAAAAA
The Dark Continent
Nenda kijijini kwenu watu wanajua kilugha tu ht Kiswahili shida
.........

Hhmm.. Hapana kwa kweli iman imepukutika.Hujanielewa jirani, maana yangu arudi nyumbani akupikie chakula cha jioni
Sema malkia wa roho yanguMy love
Povu la nn?Kijijin kwetu unapajua we nyama
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hamna mi wanaume nawaelewa sana na nawakubali mna urafiki hadi wa kufichiana uovu, wanawake wengi ni umbea umbea tu!! ukikuta mwanaume mmbea ujue ana element za ushoga.

Wivu huo....Hhmm.. Hapana kwa kweli iman imepukutika.