Makapuku Forum

Jirani tena..
 
Very true, hata mi primary nlikua nachora sana na kuna kipindi nilienda mpaka mashindano ya kimkoa judge alikuaga masoud kipanya lakin baadae nlijikuta nimeacha baada ya kukomaliwa niconcentrate na shule
Ndo tofauti yetu na wazungu
Mi pia noma kwa kuchekesha vilevile km hapa KF unavyoona
............
 
Very true, hata mi primary nlikua nachora sana na kuna kipindi nilienda mpaka mashindano ya kimkoa judge alikuaga masoud kipanya lakin baadae nlijikuta nimeacha baada ya kukomaliwa niconcentrate na shule
Nakumbuka niko Primary nikamchora Mkapa katika mashindano ya Kiwi...hata sijui iliishia wapi wakachukua Art yetu...feedback No ila nikaja kuskia tulifanya vzuri sema maticha walifanya fitna.
 
Hapo muheshimiwa amekurupuka..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…