makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,589
Morng ndugu zangu..
Ahsanti..Morning all
Kwa hisani ya 95k toka kwa Makaveli magazeti ya Leo yanawajia kama ifuatavyo
View attachment 391991View attachment 391992View attachment 391993
Himena himenesView attachment 392010View attachment 392011View attachment 392012
Kwa hisani ya 95k toka kwa makaveli10 sina la ziada.
Naitwa Jimena Jimenes nawatakia week end njema
T G I F
Thnx lvHongera honey
Ahsante sana ndugu yangu...Hongera sana kwa 95k
Nahis aliongea kimasihara, hawez kuwa serious.. Sasa ubadilishe pesa, ndio inakuwa nini.. Coz unapobadlisha nao wanaziweka kwenye mzunguko zinabadilika.. Hakn mwiz wa kuhifadhi pesa ndan tu bila kuizungusha, n wengine waishaweka katika dolarii..View attachment 392045
Nani anamshauri huyu mzee mkurupukaji?
Anafikiri pesa zinafichwa km maharage?
Kaliwa
![]()
![]()
![]()
.................
Hata akibadili pesa, hakuna atakachofanikiwa.. Afanye mengine tu ya msingi.Kuna dalili pesa zikabadilishwa sasa kama ndio hvyo
Nilikuwa namkubali sana huyu mtu.... Sevilla moja hyo.. Ukiska kanoute, ujue mpira wavuni1977 - Frederic Kanoute anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Tottenham na timu ya taifa ya Mali.
Alibadili Uraia wa Ufaransa ili achezee timu ya taifa ya Mali.
Yupo Villarreal mkuu n si malaga.1989 - Alexander Pato anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Ac Milan, Chelsea kwa sasa anacheza Malaga. Pia hucheza timu ya taifa ya Brazil
Kweli bob... Elimu ndio tatzo zaidi.Shule shule
Kwaniaba ya makapuku wenzangu.. Tunashkur historia yako yenye vipengele vya nyngeza vya a, be na cheAsante sana mkuu mussolin
Kwa kukazia zaidi
Tarehe kama ya leo papa John Paul wa pili anasoma Misa yake ya kwanza kwenye ardhi ya Tanzania, viwanja vya jangwani mwaka 1990
Tarehe kama ya leo tajiri na mmiliki wa timu ya Chelsea Roman abromovic anawasili Tanzania kwa ajili ya kupanda mlima kilimanjaro
Alikuja na ndege yake yenye uwezo wa kubeba abiria 200, lakini walikuja watu sita tu, ilitua KIA, ilikuwa mwaka 2009
Alimkuta kaishajiishia..
SawaYupo Villarreal mkuu n si malaga.
Tutawafunza vema my hubbySay no to watoto wazembe..
Morning...Morng ndugu zangu..

Morning JJ, hayaMorning all
Kwa hisani ya 95k toka kwa Makaveli magazeti ya Leo yanawajia kama ifuatavyo
View attachment 391991View attachment 391992View attachment 391993
Senks JayjayView attachment 392010View attachment 392011View attachment 392012
Kwa hisani ya 95k toka kwa makaveli10 sina la ziada.
Naitwa Jimena Jimenes nawatakia week end njema
T G I F