Wamarekani walikula kichapo hapo!Leo katika Historia:
1945 - Vietnam yajitangazia Uhuru wake.
Walisema ni Ronaldo mpya akachemsha!!!1989 - Alexander Pato anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Ac Milan, Chelsea kwa sasa anacheza Malaga. Pia hucheza timu ya taifa ya Brazil
Leo katika Historia:
Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa Mimi Mwenyewe tukutane kesho.
Ijumaa Kareem.

Alimkalisha Tyson1965 - Lenox Lewis anazaliwa.
Ni bondia wa zamani wa uzito wa juu toka nchini Uingereza.
Nakuaminia mama ya batoto..Tutawafunza vema my hubby
Dah.. Siku hizi mambo mengi mpaka nasahau, mkweo ameniambia kakumis, so jiandae jumapili tunasafari ya kigamboni, mkweo akakuoneMorning...![]()
Hawatasahu daima. . wakabaki kutuongopea na movie zao.. Viumbe wajanja sana wale.Wamarekani walikula kichapo hapo!
Mpicha pigaSina la ziada kwa hisani ya mzee wa mapicha picha bitoz, ijumaa njema
Ngumu kumpata kama de lima, wasubiri sana, yupo R9 mmoja tu dunian, nahisi alipoumbwa hakukubaki sample yake..Walisema ni Ronaldo mpya akachemsha!!!

Ya'umul jumaaLeo katika Historia:
Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa Mimi Mwenyewe tukutane kesho.
Ijumaa Kareem.